Blog Post

WAZIRI MHE KIKWETE ASHIRIKI SHEREHE ZA MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI

 Waziri wa utumishi na utawala Bora ofisi ya Rais Mhe Ridhwani Jakaya Kikwete ashiriki kilele cha Sherehe ya Miaka 25 ya Chuo Cha Utumishi Wa Umma Tanzania kilochofanyika katika Ukumbi wa JNICC-Dar Es Salaam. 


Katika sherehe hizo ambazo zimepambwa na Mwaliko wa Wakuu waliopita wa Chuo hicho an Taasisi ambazo Zimefanya kazi na Chuo hicho katika kipindi cha miaka 25, tumepokea na kutoa vyeti na tuzo za shukrani kwa wite walioshiriki kufikia mafanikio ya Chuo Chetu leo. Katika sherehe hizo pia, nimewakumbusha umuhimu wa chuo hiki kwa Watanzania hasa umuhimu wa kuendelea kufundisha na kukuza utumishi wa Umma Tanzania. 


#KaziNaUtu. #KaziInaendelea

Post a Comment

0 Comments

Close Menu