Na Omary Mbaraka
Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, leo amekutana na kufanya mazungumzo na wachezaji pamoja na benchi la ufundi la klabu hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwapa hamasa kuelekea michezo ya mwisho ya msimu.
Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, leo amekutana na kufanya mazungumzo na wachezaji pamoja na benchi la ufundi la klabu hiyo ikiwa ni sehemu ya kuwapa hamasa kuelekea michezo ya mwisho ya msimu.




0 Comments