Na Omary Mbaraka
Leo hii Mbunge wa Ilala Mussa Azzan Zungu amechaguliwa kuwa spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania baada ya kuwashinda wagombea wenza watano .
Mh Zungu ambae alikuwa naibu spika muhula uliopita alipata kura 378 dhidi ya kura 383 zilizopigwa na hivyo kuwa spika wa bunge la 13 la Jamhuri ya muungano wa Tanzania




0 Comments