Na Mwandishi wetu
Jijini Dar es Salaam_*
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amekabidhiwa Tuzo ya heshima kutoka kwa Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe.Judith Kapinga[Mb],kwenye hafla ya ufunguzi wa maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam[Sabasaba] Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere,Jijini Dar es Salaam,tarehe 03 Julai,2026.



0 Comments