Blog Post

RAIS APOKEA TUZO

 Na Omary Mbaraka 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Heshima kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo pamoja na Msajili wa Hazina Bw. Nehemiah Mchechu kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango ya Taasisi na Mashirika ya Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 30 Juni, 2026.


Post a Comment

0 Comments

Close Menu