Blog Post

SAMIA KALAMU AWARDS 2026

Na Omary Mbaraka 


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Peter Mwasalyanda akizungumza na Waandishi wa Habari, kwenye mkutano wa uzinduzi rasmi wa Samia Kalamu Awards 2026, tarehe 31 Mei, 2026 katika ofisi za TCRA jijini Dar es Saalam.


Mkutano huo umefungua rasmi jukwaa kwa wanahabari kujisajili na kuwasilisha kazi zao ili kushiriki tuzo za Uandishi wa Habari na Makala za Maendeleo (Samia Kalamu Awards - SKA) 2026 zikiwa na lengo la kuendelea kuhamasisha uzalishaji wa maudhui yenye ubora yanayochangia maendeleo ya Taifa.


Unaweza kufuatilia yaliyojiri kwenye mkutano huo kwenye chaneli ya YouTube ya TCRA au kupitia kiunganishi hiki https://www.youtube.com/watch?v=Av1-vFFp6w0&t=500s 



                 https://www.instagram.com/reel/DZBLgrAN7Td/?igsh=OTNwOWd2dDVlZzE3

Post a Comment

0 Comments

Close Menu