Blog Post

MHE TULIA ACKSON NA MHE SAMIRA AMOUR WACHEZA MPIRA WA PETE

 Na Mwandishi wetu 

 📍🇹🇿 *MICHEZO NI ZAIDI YA UTAYARI WA MWILI BALI NI AFYA KWA AKILI*  


Pichani : Mbunge wa viti maalum mkoa wa Kagera *Mhe Samira Khalfan Amour* akicheza mpira wa pete (Netball) na aliyekuwa spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania *Mhe Tulia Ackson* kwenye Bonanza la michezo lililodhaminiwa na kuratibiwa na Ofisi ya bunge Dodoma.


_Michezo si kwaajili ya kuimarisha miili yetu bali ni kujenga afya bora ya mwili na akili_


MAZOEZI NI TIBA KATAA KITAMBI NA MINYAMA M

Post a Comment

0 Comments

Close Menu