Na Omary Mbaraka
Leo hii Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Rais Paul Kagame wa Ruanda wamekutana na kukubaliana kuzidi kushirikiana na kukuza biashara na uwekezaji walipokutana ikulu
Hivyo wamekubaliana Kuondoa Vikwazo mbali mbali ambavyo havihusiani na kodi. Marais hao wakizungumza na waandishi wa Habari pia wamekubaliana mashirika ya umeme ya Tanzania na Ruanda kuwa na ushirikiano na kuuziana umeme, ili kuchochea zaidi maendeleo ya kiuchumi.




0 Comments