Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesisitiza utekele
zaji wa marufuku ya matumizi ya simu za mkononi kwa watumishi wa umma wakati wa saa za kazi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi, nidhamu na uwajibikaji katika utoaji wa huduma kwa wananchi.
0 Comments