Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Omar Mbaraka
Katika sherehe za kuadhimisha siku ya wafanyakazi mei mosi zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa sheikh Amri Abeid leo jijini Arusha, mgeni rasmi kwa niaba ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe dk Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Mhe Dk Philip Ididori Mpango amelizindua rasmi gazeti la zamani la Mfanyakaxi
Gazeti la zamani la mfanyakaxi lilikuwa likichapishwa na chama cha wafanyakazi OTTU wakati huo likiwa na waandishi mahili na nguli akiwemo mhariri mkuu Hemed Kimwanga na mwandishi Charles Charles ambao wote baadae walihamia gazeti la Tafakari baadae Charles Charles aliwahi kuwa katibu wa CCM wilaya ya Pangani
Gazeti hilo lilivuma sana na kupendwa sana kwa kipindi hicho ambalo lilikuwa likitoka kila jumamosi
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments