Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Omar Mbaraka
leo hii siku ya mei mosi vyuo vikuu (Universities) vingi nchini Amerika na Uingereza kikiwemo chuo kikuu cha Columbia (Columbia University) Havard University,Humboldt University cha Berlin ujerumani na Paris University vimefanya maandamano makubwa kuilaani vikali Israel kufanya mauaji makubwa ya wapalestina huko Gaza
Maandamano hayo ya wanafunzi yanazidi kuungwa mkono na vyuo mbalimbali katika bara zima la ulaya
Hata hivyo maandamano hayo yamesababisha maelfu ya wanafunzi kukamatwa na askari,Na katika mapambano hayo kati ya askari na wanavyuo inadaiwa kuwa kuna baadhi ya wanavyuo wamefarki kutokana na mapambano hayo makali Na pia waandishi wa habari ishirini na mbili wameuawa na wengine kukamatwa na majeshi ya Israel huko Gaza
Nao wapalestina waishio Gaza na duniani kote wamefanya maandamano ya kuvipongeza vyuo hivyo kuonyesha shukurani huku wakionyesha mabango ya kuvishukuru vyuo hivyo kama vile "Thanks Colombia University " nk.
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments