Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Steve Mhando
Mhe Ridhwani Kikwete jana alikutana ghafl na tafirija fupi ya siku yake ya kuzaliwa (Birthday)ilioandaliwa na wafanyakazi wenzie wa wizara ya utumishi na utawala bora wakiongozwa na waziri wa wizara hio Muheshimiwa George Simbachawene
Hata hivyo Mhe Ridhwani Kikwete ambae ni naibu waziri wa wizara ya utumishi na Utawala bora alitumia fursa hio kuwakumbusha wafanyakazi wenzie kuchapa kazi kwa bidii
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments