Blog Post

JAJI MSTAAFU CHANDE AWAKILISHA RIPOTI YA VURUGU ZA OKTOBA KWA RAIS MHE DKT SAMIA IKULU DAR



Na Omary Mbaraka 


 Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman akisoma Muhtasari wa Ripoti ya Tume hiyo, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 23, Aprili, 2026 

Huku Mhe Rais dkt Samia Suluhu Hassan akisikiliza kwa makini.



Post a Comment

0 Comments

Close Menu