Blog Post

WAZIRI KIKWETE AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA -MEI MOSI SINGIDA.,V







Na Omary Mbaraka  

Waziri wa kazi ajira vijana na wenye ulemavu ofisi ya waziri mkuu Mhe Ridhwani Jakaya Kikwete akiongea mbele ya  umma wa Wafanyakazi  waliojaa kwenye uwanja wa Bombadier , katika manispaa  ya Singida alimshukuru Mh. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa miongozo yake na mazingira aliyoyawezesha kwa Watumishi wa Tanzania katika miaka Minne ya Uongozi wa Nchi yetu. 

Mhe Kikwete aliendelea kumshukuru Mh. Rais kwa kuongeza mishahara kwa Asilimia 35. Haya ni mafanikio makubwa na ameonyesha uongozi mkubwa sana. Kwa hakika Utu na Kazi sio Msemo wa Kisiasa Bali ni maisha yako na tunakushukuru sana. Alisema Mhe Kikwete 



Post a Comment

0 Comments

Close Menu