Blog Post

MHE RIDHWANI KIKWETE ALIPOKUWA WILAYANI BUNDA KIKAZI ALIZURU NA KUMUOMBEA DUA MMOJA WA WAASISI WA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE





 Mhe Ridhwani Kikwete  akiwa nyumbani kwa mmoja wa waasisi na mwalimu wa hayati Mwalimu Nyerere, Chief  Mohamed Makongoro alipokuwa ziarani Wilaya ya Bunda

Katika msafara huo Mhe Kikwete alipata wasaa wa kumuombea dua muasisi huyo hayati Mohamed  Makongoro

Mhe Kikwete alielezwa kuwa harakati za utungaji wa katiba ya chama cha TANU zilianza hapo kwa hayati chief Makongoro 

Post a Comment

0 Comments

Close Menu