Blog Post

 Kiwanga, Chalinze


Ikiwa ni mwendelezo wa ziara za mhe Ridhiwani Kikwete jimboni kwake akiwa katika Kata ya Kiwangwa, amezindua miradi kuongea na wananchi katika vijiji vya Mwetemo,Bago, na kiwangwa, pamoja na kutembelea na kukagua maendeleo ya shule mpya ya sekondari iliyopewa jina la Ridhiwani Kikwete katika kijiji cha Kiwangwa aidha  alipata wasaa wa

kutembelea na kuona ujenzi wa Zahanati-Bago, Bweni la wanafunzi wa kike shule ya sekondari Kiwangwa, shule ya sekondari Ridhiwani Kikwete na pia kuzindua zahanati ya kijiji cha

 Mwetemo.




Ikiwa halmashauri ya Chalinze yenye vijiji 74 hadi sasa imeshajenga zahanati katika vijiji 66 na nyingine zikiwa katika hatua za mwisho za ujenzi.

Post a Comment

0 Comments

Close Menu