Blog Post

WAZIRI MHE KIKWETE AHUDHURIA NA KUTOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS MHE DKT SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUFIWA NA MWENZA WAKE



Waziri ofisi ya Rais Menejimenti,Utumishi na Utawala bora Mhe Ridhwani Jakaya Kikwete nae alikuwa ni miongoni mwa  Viongozi wenzake pamoja na Wananchi, kuhani msiba wa Marehemu Hafidhi Ameir Hassan ambae alikuwa Mwenza wa Rais wetu, Mzee wetu  Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja. 

Pia Mhe Kikwete alipata nafasi ya kumuhani mfiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa msiba mkubwa uliomkuta. "

"Tunaendelea kumuombea kwa Mwenyezi Mungu ampe nguvu, subira, na imani kushinda huu mtihani wa kumpoteza Mwenza wake." Alisema Mhe Kikwete. #InnallillahWainnaillahRajoun

Post a Comment

0 Comments

Close Menu