Blog Post

SPIKA WA BUNGE ATEMBELEA MKOA WA PWANI WAKIONGOZANA NA WAZIRI KIKWETE

 


Na Omary Mbaraka 

Waziri wa kazi ajira vijana na wenye ulemavu Mhe Ridhwani Jakaya  Kikwete na Spika  wa BUNGE la Jamhuri ya muungano wa Tanzania_Mhe Tulia Ackson  walifanya ziara ya siku moja ya Mkoa wa Pwani ambapo walikagua shughuli za maendeleo mkoani hapo na Kiwanda cha Uhatilifu Kibaha na kuhutubia Wananchi wa Mkoa wa Pwani katika kusheherekea Miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

 Mheshimiwa Spika Dr. Tulia Ackson ameahidi kurudi tena Mkoa Pwani  itakapopatikana nafasi. 









Post a Comment

0 Comments

Close Menu