Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
*KIKWETE NA WADAU WAWEZESHA KUCHINJWA KWA NG'OMBE ZAIDI YA 1500 NA KITOWEO KUGAWIWA KWA WANANCHI SIKU YA EID.*
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani na Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kwa kushirikiana na wadau wake hasa Jumuiya ya Waturuki wameweza kuchinja ng'ombe zaidi ya 1500 na nyama yote kuigawa kwa wananchi mbalimbali ndani ya Jimbo lake la Chalinze kwa ajili ya wananchi kupata kitoweo na kusherehekea Sikukuu hiyo ya Eid Al Adha inayosherekewa na Waislamu kote duniani na maalumu kwa ajili ya kuchinja.
Kikwete kwenye mitandao yake ya Kijamii amendika:-
"Allah ametujalia kheri katika siku ya leo ya EidAlAdha ambapo tumechinga Ng’ombe zaidi ya 1500 katika maeneo mbalimbali ya halmashauri yetu. Binafsi nikiwa eneo la Kiwangwa ambapo Ng’ombe 800 wamechinjwa tukishirikiana na Jumuiya ya Waturuki na nyama kugaiwa maeneo mbalimbali ya Halmashauri q/s320/IMG-20240620-WA0004.jpg"/>
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments