Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Omary Mbaraka
Hatimaye ni Juni 29, 2024. Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Mhe. Ridhiwani Kikwete kwa kushirikiana na Viongozi wenzake wa Chalinze wamekuja na MSOGA HALF MARATHON kwa ajili ya kukimbia wakati huo huo kuchangisha fedha ili kwenda kuboresha huduma za Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Wilaya ya Msoga.
Kutakua na mbio za aina 3 kwa maana Km 5, Km 10 na Km 21 na lengo ni kuchangisha na kukusanya zaidi ya Milioni 330 ili kwenda kununua vifaa na kuboresha huduma za Afya kwa Mama na Mtoto pale Msoga Hospitali ambayo inahudumia wananchi wengi sana wa Wilaya ya Bagamoyo.
Jisajili sasa kwa Tigo kwa kupiga *150*01# kisha nenda namba 5 halafu 6 halafu 1 hatimaye 1 utakuta Msoga Half Marathon utajisajili kwa Tshs 35,000/= ili tukimbie huku tukienda kusaidia kuokoa vifo vya Mama na Mtoto. Kwa LIPA NO: 15840234 (MSOGA HALF MARATHON).
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments