Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
N Omar Mbaraka
Rais wa China Xi Jinping atembelea Serbia na kukutana na rais wa Serbia bw Aleksandar kwa ajili ya kukuza mahusiano
China imewekeza mabilioni ya dola za kimarekani (USD) nchini Serbia katika machimbo ya madini na miundombinu
Kwa mara ya mwisho Xi Jinping kutembelea Serbia ilikuwa mwaka 2019 Hivi sasa Rais huyo wa china amekwenda Hungary
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments