Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Omary Mbaraka
Mpaka kufikia leo hii inakadiriwa wapalestina wapatao elfu thelathini na nne mia nane arobaini na nne (34844)wameuawa na wengine elfu sabini na nane mia nne kumi na nne (78414) wamejeruhiwa na majeshi ya Israel huko Gaza
pia inadaiwa kwa masaa ishirini na nne (24) yaliopita wapalestina hamsini na tano wameuawa
Na baada ya Israel kuvamia mji wa Rafah njiani kuingia Gaza na kuzuia misaada ye yote kupita inasemekana baada ya siku tatu mahospitali ya Gaza yatasimamisha kutoa huduma ya mstibabu baada ya kukosa mafuta ya kuendesha hodpitali hizo ikiwemo hospitali ya shifa
Hata hivyo jumatatu iliopita wahamasi wamekubali kusimamisha vita ili kukaa mezani na wsisraeli ili kusitisha vita ingawaje Rais wa Israel Netanyahu anasema vita viendelee ili kuwamaliza wahamasi wote huko Gaza.
Marekani baada ya kuona wahamasi wamekubali kusitisha vita nao wamesimamisha meli kadhaa zilixokuwa zikiwapelekea waisraeli silaha mbalimbali zikiwemo mabomu
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments