Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Omary Mbaraka
Leo hii karibu wapalestina laki moja na sabini tano (175000) wamelazimika kuacha makazi yao huko Rafah Gaza na kukimbilia nchi jirani kutokana na ukosefu wa Chakula
Tukio hilo limetokea baada ya majeshi ya Israel kwa makusudi kuzuia malori yote yaliyokuwa yakipeleka chakula cha msaada huko Rafah
wapalestinna hao wameondoka katika mji wao kwa kutumia matoroli yanayovutwa na farasi wengine katika magari mabovu wakidai kuwa hakuna chakula wala maji hivyo kulazimika kuondoka
Nae rais wa Amerika Joe Biden amesema atasimamisha msaada wa silaha kwenda Israel kwa vile Israel inatumia vibaya misaada hio kwa kuwatesa raia wakipelestina wasio na hatia
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments