Na Omary Mbaraka
Mazishi ya aliekuwa mchezaji maarufu wa mpira wa miguu aliewahi kuchezea klabu kubwa za hapa nchini marehemu Abbas Kuka yamefanyika jana mchana katika makaburi ya mwinyimkuu magomeni Dar es salaam.
Katika mazishi hayo pia alihudhuria Rais mstaafu mhe Dk Jakaya M Kikwete akiambatana na Naibu waziri wa Utumishi na Utawala bora Mhe Ridhwani J Kikwete
Marehemu Abbas Kuka alifariki akiwa katika harakati zake msikitini
![]() |
0 Comments