Blog Post

RAIS SAMIA AIPONGEZA YANGA

 Na Omary Mbaraka 


*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhi Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga baada ya kuibuka ushindi kwenye Mchezo wa kariakoo Derby.*

*Hongereni Yanga kwa ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wenu wa Ligi Kuu.* 

*Nawatakia nyote kheri katika michezo yenu inayofuata, Endeleeni kutupa burudani huku Taifa likiendelea kuchapa kazi kwa amani, umoja, utulivu na mshikamano*

Post a Comment

0 Comments

Close Menu