Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
Na Omary Mbaraka
Tarehe 24 may 2024 Rais Ruto wa Kenya na Rais Joe Biden wa marekani walikutana mjini Washington na kukubalana maamuzi mazito baada ya marekani kuamua kuwekeza kwa kiasi kikubwa nchini kenya na kuikopesha kenya jumla ya dola za kimarekani bilioni moja
Hii ina maana ule uhusiano wa kiuchumi kati ya Kenya na China ulioasisiwa na Rais Moi sasa umekufa
Hapo awali wakati rais Ruto akiondoka kwenda marekani baadhi ya wananchi walilalamika kuwa safari hio ni matumizi mabaya ya fedha kwani itaigharimu Kenya mamilioni ya pesa lakini imekuwa ni tofauti kubwa kwani safari hio imezaa matunda mazuri ya kuineemesha Kenya
Post a Comment
0
Comments
Social Plugin
TAFAKARI MEI 15, 2025
UTULIVU
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments