Humphrey Herson Polepole ni mwanasiasa na mwanadiplomasia ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Cuba alichaguliwa tangu 2023. Alikuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi kuanzia 2022 hadi 2023.
Habari za kijamia
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ukaguzi
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA MOROGORO
Ndani ya hoteli ya Nashera Morogoro
Miongoni mwa hoteli tulivu yenye mandhari ya kuvutia ya kuanzia safari za kuelekea mbuga za wanyama za Mikumi, Hifadhi ya taifa ya Nyerere (Selous), Milima ya Udizungwa na Hifadhi ya Ruaha pia ni Hoteli kubwa kwa mikutano na mapumziko pia ipo katikati ya Mji Mkuu wa kiserikali Dodoma na jiji la kibiashara Dar es Salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba 0716 678 233
UTULIVU WA KIPEKEE NDANI YA HOTELI YA KITALII YA NASHERA
Ndani ya hoteli ya Nashera
Miongoni mwa hoteli zilizoko karibu na mbuga ya wanyama ya Ruaha na Mikumi iko katika mji wa kiserikali Dodoma na mji wa kibiashara Ikulu ndogo Dar es salaam ndani ya hoteli hiyo kuna utulivu wa aina yake
0 Comments